Episoder

  • Usichofahamu ni majina yao halisi Joseph Francis Michael Ong'oso na Precious Juma Mkoma maarufu kama Man'Dojo na Domokaya. Wanamuziki mashuhuri sana wa kizazi cha jana na leo. 
    nani asiyepende kusikia sauti nzuri na za kuvutia zikisindikizwa na Guitar lao(wenyewe wanaliita Banjo)? 
    Nani asiyetambua uwezo wa miamba hawa wa muziki katika kuweka viitikio na vionjo makini katika nyimbo mbalimbali za Muziki wa Kibongo?
    Hawa ni marafiki waliogeuka ndugu, wenyewe wanadai wamepitia mpaka kuvaa nguo sare 😁
    Meza Huru imekaa nao na kupata simulizi ya maisha yao ya muziki na amini kwamba, inavutia sana. 
    Jumuika nasi mezani kuwasililiza 😊, Karibu 
    #MezaniNaMandojoNaDomokaya 
    #MezaHuru

  • Sehemu ya pili ya maongezi yetu na KBC, ambaye wengi wanamfahamu kama Kibacha

    Huyu ni mojawapo wa mwamba muhimu wa Hip Hop ya Tanzania.

    Unaambiwa zama zake, Kipaza kilimuogopa kama ukoma, Rafiki wa mashairi na mchenguaji mashuhuri. Gwiji wa mtindo huru na Battle Emcee haswaaa. 

    Kibacha ni miongoni mwa waanzilishi wa Kundi kongwe na mahiri la KWANZA UNIT.

    Ametupa heshima kubwa ya kukaa nasi na kutupa historia ya muziki wake tangu miaka ya 80 mpaka hapa tulipo.

    Mwamba huyu hapa 😊

    #MezaniNaKBC 

    #MezaHuru 

  • Manglende episoder?

    Klik her for at forny feed.

  • Anaitwa KBC, wengi wanamfahamu kama Kibacha

    Huyu ni mojawapo wa mwamba muhimu wa Hip Hop ya Tanzania.

    Unaambiwa zama zake, Kipaza kilimuogopa kama ukoma, Rafiki wa mashairi na mchenguaji mashuhuri. Gwiji wa mtindo huru na Battle Emcee haswaaa. 

    Kibacha ni miongoni mwa waanzilishi wa Kundi kongwe na mahiri la KWANZA UNIT.

    Ametupa heshima kubwa ya kukaa nasi na kutupa historia ya muziki wake tangu miaka ya 80 mpaka hapa tulipo.

    Jumuika nasi mezani kumsikiliza Mwamba huyu hapa 😊

    #MezaniNaKBC 

    #MezaHuru 

  • Anaitwa DOLOMOI FRANCIS, kwa jina maarufu anafahamika kama DOLO. Ni moja ya waasisi wa kundi la Wachuja Nafaka na Wanaume TMK. 
    Kutoka maeneo ya TEMEKE. 
    Tumepata bahati ya kukaa naye mezani na ametupitisha kwenye safari yake ya muziki. Kuanzia akiwa hajawa Dolo, 
    mpaka hivi sasa akiwa bado anapeperusha vyema bendera ya TMK.
    #MezaniNaDolo 
    #MezaHuru

  • KR Mullah ,miongoni mwa waasisi wa GWM (Gangstaz With Matatizo), Wachuja Nafaka, TMK Wanaume family

    Mwamba huyu kutokea Temeke Dar es Salaam amefanya makubwa sana katika muziki wetu kabla haujaanza kuwa rasmi

    Amefanya kazi na wakongwe kama Boniluv, Master Jay na P Funk.

    Ametupatia heshima kubwa ya kutupa simulizi yake tangu akiwa kijana mdogo katika muziki mpaka sasa bado anawakilisha Temeke popote pale alipo

    Muite KR Mullah Jibaba Muziki Mkubwa CD Mia Saba Njoo kichwa kichwa akupe za uso saba.

    #MezaniNaKakaRashidi 

    #MezaHuru

  • Ras Innocent Nganyagwa ni miongoni mwa wanamuziki nguli katika kizazi cha tatu cha muziki wa Reggae kutoka Tanzania. 

    Muziki wa Reggae Afrika ulianza kushamiri baada ya Uhuru wa Zimbabwe mwaka 1980, Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizokuwa za mwanzo kupata mapokeo ya muziki huo.

    Tumezungumza na Ras Inno kuhusu imani ya RastaFari, muziki wa Reggae

    Ras Innocent Richard Nganyagwa ni shule haswa, Ana ufahamu mkubwa sana wa maisha ya asili ya mwafrika na anaamini kila mtu mweusi ni Rastafarian. Ras Inno ni mtetezi wa haki za binadamu na za wasanii pia,

    Jumuika nasi mezani umsikilize, Karibu.

    #MezaniNaRasInno 

    #MezaHuru 

    Anchor - https://anchor.fm/meza-huru

    Google podcast -  https://podcasts.google.com/feed/aHR0... 

    Apple Podcast - https://podcasts.apple.com/us/podcast/meza-huru/id1644168683

    Spotify - https://open.spotify.com/show/6Ym3U2r... 

    Deezer - https://www.deezer.com/en/show/4499797

    Amazon music - https://music.amazon.com/podcasts/bc2... 

    Boomplay - https://www.boomplay.com/podcasts/32087

    Castbox - https://castbox.fm/podcasts/meza-huru... 

    YouTube - https://www.youtube.com/channel/UCutp...   

    Facebook - https://www.facebook.com/MEZA-HURU-10... 

    Twitter - https://twitter.com/MezaHuru

  • Carola Kinasha, ukimuona huwezi kuamini ana miongo sita duniani. First lady wa Bene Bene na baadaye Shada.

    Msomi wa chuo kikuu aliyechagua kufanya muziki kama kazi. Mwanaharakati wa mwanzo kabisa wa stahiki na haki za utunzi, na moja walioupeleka mbali sana muziki wa asili ya Afrika. Ni mcheshi na mwenye maarifa mengi sana kuhusu maisha na safari ya muziki wetu tangu miaka ya themanini mpaka leo hii.

    Unajua kisa chake na Remmy Ongala kilichozaa kibao maarufu cha Karola? Unajua nini maana ya segese?

    Unajua kwamba yeye ni mtu aliyekuwa nyuma ya chorus nzuri na tamu za Bongofleva yetu hii? Carola Kinasha ni nyota wa muziki wetu na Almasi inayowaka kama taa. 

    Jumuika nasi mezani umsikilize, Karibu

    #MezaniNaCarolaKinasha 

    #MezaHuru 

    Anchor - https://anchor.fm/meza-huru

    Google podcast -  https://podcasts.google.com/feed/aHR0... 

    Apple Podcast - https://podcasts.apple.com/us/podcast/meza-huru/id1644168683

    Spotify - https://open.spotify.com/show/6Ym3U2r... 

    Deezer - https://www.deezer.com/en/show/4499797

    Amazon music - https://music.amazon.com/podcasts/bc2... 

    Boomplay - https://www.boomplay.com/podcasts/32087

    Castbox - https://castbox.fm/podcasts/meza-huru... 

    YouTube - https://www.youtube.com/channel/UCutp...   

    Facebook - https://www.facebook.com/MEZA-HURU-10... 

    Twitter - https://twitter.com/MezaHuru

  • Wengi wanamjua kwa jina la Mnyalu, Mike Tee, The Dangerous Emcee ila jina lake kamili ni Mike Francis Mwakatundu. 

    Mike Tee alianza kuimba mwanzoni mwa miaka ya 90, akiimba kwaya kanisani na taratibu akaanza kujifunza kuandika na kuimba mistari kupitia mashairi ya gazetini baada ya kukutana na Ntwa mmoja wa waanzilishi wa WWA (Wagumu Weusi Asilia).

    Amefanya kazi na watayarishaji kama P Funk na Master Jay, amefanya hits na wasanii kama Juma Nature, Q Chief, Mad Ice na Komando Jide

    Unajua kuhusu ugomvi wa Mr. Nice na Dudu Baya? Mike Tee amenyoosha taarifa. Sitaki kumalizia stori yake. Jumuika nasi mezani umsikilize, Karibu

    #MezaniNaMikeTee 

    #MezaHuru 

    Anchor - https://anchor.fm/meza-huru

    Google podcast -  https://podcasts.google.com/feed/aHR0... 

    Apple Podcast - https://podcasts.apple.com/us/podcast/meza-huru/id1644168683

    Spotify - https://open.spotify.com/show/6Ym3U2r... 

    Deezer - https://www.deezer.com/en/show/4499797

    Amazon music - https://music.amazon.com/podcasts/bc2... 

    Boomplay - https://www.boomplay.com/podcasts/32087

    Castbox - https://castbox.fm/podcasts/meza-huru... 

    YouTube - https://www.youtube.com/channel/UCutp...   

    Facebook - https://www.facebook.com/MEZA-HURU-10... 

    Twitter - https://twitter.com/MezaHuru

  • Mzee Kitime ama Ango "Uncle" Kitime kama mwenyewe anavyojitanabaisha kwenye mitandao. Ni mwanamuziki nguli wa Muziki wa Dansi kutoka Kilimanjaro Band maarufu kama "Wana Njenje", mmoja wa wanakamati ya kutetea muziki wa dansi na tasnia ya muziki kwa ujumla, Mtangazaji wa Radio, Muigizaji wa Filamu, Mchekeshaji na Mtunza historia ya Music wa Tanzania.

    Tumekaa naye na kupata historia ya muziki wake na harakati zake tangu mwaka 1967 hadi leo akiwa na JFK BAND.

    Jumuika nasi mezani tumsikilize Gwiji huyu wa Tasnia yetu, Karibu.

    #MezaniNaJOHNKITIME 

    #MezaHuru 

    Anchor - https://anchor.fm/meza-huru Google podcast -  https://podcasts.google.com/feed/aHR0...  Apple Podcast - https://podcasts.apple.com/us/podcast/meza-huru/id1644168683 Spotify - https://open.spotify.com/show/6Ym3U2r...  Deezer - https://www.deezer.com/en/show/4499797 Amazon music - https://music.amazon.com/podcasts/bc2...  Boomplay - https://www.boomplay.com/podcasts/32087 Castbox - https://castbox.fm/podcasts/meza-huru...  YouTube - https://www.youtube.com/channel/UCutp...    Facebook - https://www.facebook.com/MEZA-HURU-10...  Twitter - https://twitter.com/MezaHuru Instagram - https://instagram/mezahurupodcast
  • Sehemu ya pili ya maongezi na Master Jay. Kama hujasikiliza nyimbo alizotengeneza (naamini ni vigumu), utakuwa umemuona kwenye mashindano ya kusaka vipaji

    Joachim Marunda Kimaryo ni Gwiji kabisa katika tasnia ya muziki wetu

    Amehusika katika Hip Hop, Bongofleva, Dansi mpaka nyimbo za Dini 😁

    Tumepata nafasi ya kuzungumza naye na ametupa simulizi ambazo zinaweza kutumika kama chanzo rasmi cha historia za muziki wetu kuanzia mwanzo mpaka tulipo.

    Jumuika nasi mezani, tusikilize PART II ya MTABE huyu wa sanaa 😉 Karibu.

    #MezaniNaMasterJay

    #MezaHuru

    Anchor - https://anchor.fm/meza-huru

    Google podcast -  https://podcasts.google.com/feed/aHR0...

    Apple Podcast - https://podcasts.apple.com/us/podcast/meza-huru/id1644168683

    Spotify - https://open.spotify.com/show/6Ym3U2r...

    Deezer - https://www.deezer.com/en/show/4499797

    Amazon music - https://music.amazon.com/podcasts/bc2...

    Boomplay - https://www.boomplay.com/podcasts/32087

    Castbox - https://castbox.fm/podcasts/meza-huru...

    YouTube - https://www.youtube.com/channel/UCutp...

    Facebook - https://www.facebook.com/MEZA-HURU-10...

    Twitter - https://twitter.com/MezaHuru

  • Nani asiyemfahamu Master Jay? Kama hujasikiliza nyimbo alizotengeneza (naamini ni vigumu), utakuwa umemuona kwenye mashindano ya kusaka vipaji

    Joachim Marunda Kimaryo ni Gwiji kabisa katika tasnia ya muziki wetu

    Amehusika katika Hip Hop, Bongofleva, Dansi mpaka nyimbo za Dini 😁

    Tumepata nafasi ya kuzungumza naye na ametupa simulizi ambazo zinaweza kutumika kama chanzo rasmi cha historia za muziki wetu kuanzia mwanzo mpaka tulipo.

    Jumuika nasi mezani, tusikilize PART I ya MTABE huyu wa sanaa 😉 Karibu.

    #MezaniNaMasterJay

    #MezaHuru 

    Anchor - https://anchor.fm/meza-huru

    Google podcast -  https://podcasts.google.com/feed/aHR0... 

    Apple Podcast - https://podcasts.apple.com/us/podcast/meza-huru/id1644168683

    Spotify - https://open.spotify.com/show/6Ym3U2r... 

    Deezer - https://www.deezer.com/en/show/4499797

    Amazon music - https://music.amazon.com/podcasts/bc2... 

    Boomplay - https://www.boomplay.com/podcasts/32087

    Castbox - https://castbox.fm/podcasts/meza-huru... 

    YouTube - https://www.youtube.com/channel/UCutp...   

    Facebook - https://www.facebook.com/MEZA-HURU-10... 

    Twitter - https://twitter.com/MezaHuru

  • Sehemu ya pili na Kaka Boniphace Kilosa a.k.a #Boniluv. Kati ya wale magwiji wawili wanaotajwa sana, huyu ni Kaka yao na hatajwi sana pengine kwa makusudi ama bahati mbaya na hilo halijatuzuia kufanya naye mazungumzo na kumpatia maua yake. Boniluv ni Baba, Kaka, Rafiki na mwanafamilia. Ni mtu wa Muziki haswa. Ni mtu wa old school jams, akianza story za 80's hatumshiki!! Amefanya kazi na Ma-Pioneer wote wa muziki wa kizazi kipya. Amekuwepo kabla ya Bongo Fleva hivyo anastahili HESHIMA ya kuwa  #TheGodFather wa muziki wa Bongofleva  Ametupa heshima kubwa Sana na historia ya safari yake ya muziki na maisha tangu miaka hiyo mpaka leo. Jumuika nasi mezani, tusikilize PART II ya Poppaluv 😉 Karibu.  #MezaniNaBoniluv #MezaHuru  

    Anchor - https://anchor.fm/meza-huru

    Google podcast -  https://podcasts.google.com/feed/aHR0...  

    Applepodcast - https://podcasts.apple.com/us/podcast/meza-huru/id1644168683

    Spotify - https://open.spotify.com/show/6Ym3U2r...  

    Deezer - https://www.deezer.com/en/show/4499797

    Amazon music - https://music.amazon.com/podcasts/bc2...  

    Boomplay - https://www.boomplay.com/podcasts/32087

    Castbox - https://castbox.fm/podcasts/meza-huru...  

    YouTube - https://www.youtube.com/channel/UCutp...     

    Facebook - https://www.facebook.com/MEZA-HURU-10...  

    Twitter - https://twitter.com/MezaHuru

  • Boniphace Kilosa a.k.a #Boniluv Kati ya wale magwiji wawili wanaotajwa sana, huyu ni Kaka yao na hatajwi sana pengine kwa makusudi ama bahati mbaya na hilo halijatuzuia kufanya naye mazungumzo na kumpatia maua yake. Boniluv ni Baba, Kaka, Rafiki na mwanafamilia. Ni mtu wa Muziki haswa. Ni mtu wa old school jams, akianza story za 80's hatumshiki!! Amefanya kazi na Ma-Pioneer wote wa muziki wa kizazi kipya. Amekuwepo kabla ya Bongo Fleva hivyo anastahili HESHIMA ya kuwa  #TheGodFather wa muziki wa Bongofleva  Ametupa heshima kubwa Sana na historia ya safari yake ya muziki na maisha tangu miaka hiyo mpaka leo. Jumuika nasi mezani, tumsikilize Poppaluv 😉 Karibu. 

    #MezaniNaBoniluv 

    #MezaHuru 

    Anchor - https://anchor.fm/meza-huru

    Google podcast -  https://podcasts.google.com/feed/aHR0... 

    Apple Podcast - https://podcasts.apple.com/us/podcast/meza-huru/id1644168683

    Spotify - https://open.spotify.com/show/6Ym3U2r... 

    Deezer - https://www.deezer.com/en/show/4499797

    Amazon music - https://music.amazon.com/podcasts/bc2... 

    Boomplay - https://www.boomplay.com/podcasts/32087

    Castbox - https://castbox.fm/podcasts/meza-huru... 

    YouTube - https://www.youtube.com/channel/UCutp...   

    Facebook - https://www.facebook.com/MEZA-HURU-10... 

    Twitter - https://twitter.com/MezaHuru

  • #MezaniNaDunga

    #MezaHuru

    #Dunga

    Wengi wetu tunamfahamu kwa jina la Dunga ama Mandugu.

    Jina lake kamili ni Ambrose Akula Akwabi. 

    Huyu ni mtu muhimu sana katika muziki wetu.

    Amekuwepo tangu enzi tunajitafuta. 

    Dunga na kaka yake (Shakii) wanaunda Mandugu Digital.

    Amefanya kazi nyingi sana mashuhuri na nyingine unaweza usiamini anahusika nazo.

    Jumuika nasi mezani, tumsikilize Mwamba Huyu 😉

    Karibu.

    Anchor - https://anchor.fm/meza-huru

    google podcast -  https://podcasts.google.com/feed/aHR0...

    Spotify - https://open.spotify.com/show/6Ym3U2r...

    deezer - https://www.deezer.com/en/show/4499797

    amazon music - https://music.amazon.com/podcasts/bc2...

    boomplay - https://www.boomplay.com/podcasts/32087

    castbox - https://castbox.fm/podcasts/meza-huru...

    youtube - https://www.youtube.com/channel/UCutp...

    facebook - https://www.facebook.com/MEZA-HURU-10...

    twitter - https://twitter.com/MezaHuru

  • Johnson Sululu a.k.a Jorsbless ni sehemu ya kizazi bora cha utayarishaji na uandaaji wa midundo katika tasnia ya muziki Tanzania

    Amefanya kazi na wasanii kama Mapacha, Rama Dee, Nikki Wa Pili , Adili n.k

    Unakumbuka kuhusu ANTI-VIRUS Movement? Tumeligusia hili pia 😁

    Amefanya kazi kama DJ katika kituo cha #TimesFm na baadae #AzamTV kama Sound Engineer

    Tumekaa na JORS na kupiga soga kuhusu maisha kuanzia mwanzo wa kazi zake hizi mpaka leo hii

    Unajua Mwaka 2008 Baba yake mzazi alimpatia kiasi cha shilingi Milioni 2 za Kitanzania ili afungue studio yake?

    Jumuika nasi Mezani, Karibu!

    Anchor - https://anchor.fm/meza-huru

    google podcast -  https://podcasts.google.com/feed/aHR0...

    Spotify - https://open.spotify.com/show/6Ym3U2r...

    deezer - https://www.deezer.com/en/show/4499797

    amazon music - https://music.amazon.com/podcasts/bc2...

    boomplay - https://www.boomplay.com/podcasts/32087

    castbox - https://castbox.fm/podcasts/meza-huru...

    youtube - https://www.youtube.com/channel/UCutp...

    facebook - https://www.facebook.com/MEZA-HURU-10...

    twitter - https://twitter.com/MezaHuru

  • MEJAH ni Mwana Hip Hop na Mjasiriamali aliyegeuza mahaba yake ya uchora machata(GRAFFITI), Kusafiri, Kuendesha baiskeli  kuwa sehemu ya kipato chake Tumepata nafasi ya kuzungumza nae na anatupitisha katika historia ya maisha yake kuanzia kuandika sehemu ya wimbo wa JCB wa Kundi la Watengwa,Kuuza majarida mbalimbali mfano "The Source" mpaka kushiriki katika majukwaa mbalimbali ya Graffiti kupitia kundi la Wachata Bila kusahau ni Classmate wa January Makamba 😁 Karibu tumsikilize

  • A Conversation about Music in Tanzania. From genesis to where it's now. A 20yrs+ journey in the game. Looking at this history from a perspective of our guest. This is Meza Huru, Karibu.